Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,492
- 2,357
Habari waungwana. Nawasilisha kama nilivyoulizwa
""Nina Tshs 400000 [laki nne].Ninataka nianze kufunga kuku japo sijui A wala B kuhusu ufugaji.
Je nianze na kuku wa aina gani kati ya wa kienyeji au broiler?
Naomba ushauri kwa kuzingatia gharama za uendeshaji, mtaji wa kuanzia, soko na mengine mengi ambayo siyafahamu.""
""Nina Tshs 400000 [laki nne].Ninataka nianze kufunga kuku japo sijui A wala B kuhusu ufugaji.
Je nianze na kuku wa aina gani kati ya wa kienyeji au broiler?
Naomba ushauri kwa kuzingatia gharama za uendeshaji, mtaji wa kuanzia, soko na mengine mengi ambayo siyafahamu.""