U can't be serious broDunia inaenda kasi Sana.
Wengine tuna miaka 22+ hatujawahi kulala na mwanamke wala kuwa demu wengine mna watoto kila mtaa?
Halafu wote tunakutana Kwa sir God It's not fair kabisa
Unataka kusema hubebi wajibu??? Na unaona nisawa ww kutobeba wajibu. Angalia usije kuwa ni mzazi tu na si baba.Kuzalisha unazalisha lakini kuzalisha zalisha tu kwa mademu dizaini ya mademu wa mwananyamala lazima wakusumbue mkuu
Hakuna siri chini ya juu mwambie ukweli kabla hujafunga nae ndoa aujue anaingia kwenye ndoa na Mwanaume wa aina gani.Mwambie hivi mtarajiwa mwenzio nilikuwa kicheche zipuu haifungi nina mbegu tisa nilipanda zimechipua uone atalipokea vipi.Ushauri wako ndugu mjumbe
Shida ni kwamba wengi wanabeba majukumu yasiyo yao,Unataka kusema hubebi wajibu??? Na unaona nisawa ww kutobeba wajibu. Angalia usije kuwa ni mzazi tu na si baba.
Na vipi nikimpoteza mkuu?Hakuna siri chini ya juu mwambie ukweli kabla hujafunga nae ndoa aujue anaingia kwenye ndoa na Mwanaume wa aina gani.Mwambie hivi mtarajiwa mwenzio nilikuwa kicheche zipuu haifungi nina mbegu tisa nilipanda zimechipua uone atalipokea vipi.
Kitanda hakizai haramu
Jibu la kiume hiliKitanda hakizai haramu
Icho mi mwenyewe nakiona,Unataka kusema hubebi wajibu??? Na unaona nisawa ww kutobeba wajibu. Angalia usije kuwa ni mzazi tu na si baba.
Now unaona ni sawa ila ukishaoa hao mama zao watakupa shida utajuta.
Ukienda kwa mkemia, 90% utaambiwa Ni Wako kuepusha Lindi la watoto wa mitaani.DNA yenyewe ya bongo wanatoa majibu kulingana na Factor.
Utaamisha jeshi kwa mwanamke mwingineNa vipi nikimpoteza mkuu?
Am serious Sana Tu.U can't be serious bro