Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaangalia na mazingira ya mtoto baada ya kutoka hapo,
Mkemia jibu atatoa asilimia 90 ni mwanao ata kama sio kweli
Sasa kwa nini nikapime DNA yaani Nitumie gharama kuudanganya Moyo.Ndiyo sababu Mkuu taasisi zetu nyingi zinakuwa hazina mafanikio ni uongo uongo tu kila mahali hata DNA wanamlia pesa ME kisha kumdanganya!!! Ya nini kuwa na huduma kama hiyo nchini kisha kutosema kweli!? Si bora waifute tu? Ndiyo sababu siku hizi ME wenye kutaka kuhakikisha kama watoto ni wao wanajiendea Nairobi hivyo kulikosesha Taifa pesa chungu nzima.
Sasa kwa nini nikapime DNA yaani Nitumie gharama kuudanganya Moyo.
Sasa mkuu unataka nikapime sehemu ambayo Jibu kubwa kwao Ni Ndio.Unaudanganya moyo kivipi Mkuu? Kama watoto si wa kwako unataka DNA iseme uongo ni wa kwako? Repercussions za majibu ya mtoto kuwa wako au si wako ni kubwa sana katika nchi za wenzetu ila hapa kwetu ni bora liende tu.,
Sasa mkuu unataka nikapime sehemu ambayo Jibu kubwa kwao Ni Ndio.