asante mkuu nimeelewa vizuri lakini kwa uchunguzi wangu nimegundua kuwa jingereza kinakuwa kingi sana sasa kama mtu haelewi anatumia njia ipi ili aweze kuagiza mzigo mfano huko alibabaMahitaji
1.lazima uwe na account ya benk itakayokuwezesha kufanya malipo online
2.Tovuti nzuri ya kuagiza ni Alibaba Find quality Manufacturers, Suppliers, Exporters, Importers, Buyers, Wholesalers, Products and Trade Leads from our award-winning International Trade Site. Import & Export on alibaba.com
Ingia kwenye tovuti, kuna suppliers kibao, Fanya uchunguzi,hakikisha unawauliza maswali ya kutosha kabla ya kuagiza Mzigo,
Agiza Mzigo mdogo kutoka kwa suppliers kuangalia ubora.
Mzigo ukikulidhisha ndipo uanze kuagiza mzigo wa wastani
Gharama za bidhaa ni mdogo mno ,maana unaweza agiza bidhaa ya $1 ukaja kuuza hata 20000tsh
Suala ni kufanya uchunguzi usikurupuke,kuweka mtaji wote kwa Mara ya kwanza