Ndio zao eeh?kubana pua yaani kuwa david cameron.
Ndio zao eeh?kubana pua yaani kuwa david cameron.
Wale wanaoifaham Radio hii tafadhali nawaomba mniambie sifa za kuwa mtangazaji radioni hapo.
uwe mbea km huyo jamaa anayetangaza kpnd asbh naa mdada na uwe mnafik, mwongo na mtetezi wa magamba kw kujdai kumuoji shukuru kawambwa eti 2na mafanikio kielim wakt ndo elimu imeshuka..au mafanikio ya kujenga madarasa yasiyo na madawati, vifaa na hata waalimu????
Wale wanaoifaham Radio hii tafadhali nawaomba mniambie sifa za kuwa mtangazaji radioni hapo.
Okay. Wapo juu kama KLMCLOUDS FM NDIO BORA KULIKO ZOTE
Mnaisema vibaya labda kwa vile humpendi mtangazaji mmoja au wawili LAKINI ITABAKI KUWA "The Super Brand"
Ni WABUNIFU HAKUNA TENA hapa Bongo. Wanajua kukutangazia tangazo lako mpaka unapata thamani halisi ya pesa iliyolipa. Wapo UPDATED NA CURRENT AFFAIRS, wanajua msikilizaji anahitaji kusikia nini. Ruge ana Masters Degree, Simalenga ana Bachelor nk
In short CLOUDS WAPO VIZURI na MNAVYOWASEMA VIBAYA NDIO WANAZIDI KUWA BORA maana ukosoaji wenu wao wanachukulua in a positive way ili KUIMARISHA UBORA WA HUDUMA ZAO.
~~~Hakuna Mungu kama wewe Bwana~~~
nyuma ya pazia kuna mlango mkuuMh sijaelewa nyuma ya pazia kuna nini napita......
Duh sasa hiyo kali yakheeAina ya wasikilizaji na Redio/Tv
1:- ITV/Radio 1--Wasomi ,Maprofesa,wanaopenda maendeleo
2.:--Clouds FM--Vijana U-20,Wapenda umbea,Story za town ambazo pia hazikusaidii lolote,Madereva daladala,Mashankupe,
3:--Efm-Vijiweni,Bajaj ,ma haouse boy
4:-TBc --Madereva wa serikali tena kwa kulazimishwa ,wastaafu ambao hawana cha kupoteza bali kusikiliza hekaya .
6:-Star tv---Wasukuma na wahaya ,hawa jamaa habari za michezo wako safi ila kitaifa hamna kitu.
Mh sijaelewa nyuma ya pazia kuna nini napita......