Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Ndugu Hamis Kigwangala ni mmoja ya mawaziri ambao ukiwaona wakiwa katika mambo yao ndipo utaamini uchawi upo. Kuna mtu mmoja amekuwa akipinga sana humu JF kuwa hakuna uchawi.
Mimi namwambia kwa Hamis Kigwangala kuwa na nafasi aliyopo ni wazi uchawi upo.huyu jamaa hajawahi kuwa na akili au busara. Wizara aliyopewa anakaa pale kwa sababu ni mmoja ya mawaziri washirikina sana hapa Duniani.
Ila kiuwezo hana uwezo wa kuendesha hata familia yake.acha tu hiyo wizara. Ukinionesha jambo la maana alilofanya kigwangala mimi ntakuonesha Mbuzi wangu anayetaga mayai na kuyalalia baada ya siku 60 anatotoa vifaranga vya mbuzi.
Mimi namwambia kwa Hamis Kigwangala kuwa na nafasi aliyopo ni wazi uchawi upo.huyu jamaa hajawahi kuwa na akili au busara. Wizara aliyopewa anakaa pale kwa sababu ni mmoja ya mawaziri washirikina sana hapa Duniani.
Ila kiuwezo hana uwezo wa kuendesha hata familia yake.acha tu hiyo wizara. Ukinionesha jambo la maana alilofanya kigwangala mimi ntakuonesha Mbuzi wangu anayetaga mayai na kuyalalia baada ya siku 60 anatotoa vifaranga vya mbuzi.