Niaje wadau naombeni tushare techniques za kusoma

Top gun maverick

JF-Expert Member
Dec 10, 2017
2,016
2,592
Mimi ya kwangu ni kuandika summary na kurudia rudia ...but niko advance naona mambo mengi nasahau haraka naombeni mbinu zenu
 
Techniques za kusoma ziko nyingi kutegemeana na malengo yako. Kama malengo yako ni kufaulu mtuhani hata hiyo unayotumia inaweza kuwa technique nzuri tu lakini kama lengo lako ni kuelewa mambo kwa undani ( yaani kuwa nondo) soma vitabu ambavyo huelezea mambo kwa kina
 
Techniques za kusoma ziko nyingi kutegemeana na malengo yako. Kama malengo yako ni kufaulu mtuhani hata hiyo unayotumia inaweza kuwa technique nzuri tu lakini kama lengo lako ni kuelewa mambo kwa undani ( yaani kuwa nondo) soma vitabu ambavyo huelezea mambo kwa kina
But mbona huku advance vitu vinasahaurika mkuu...
 
Mimi ya kwangu ni kuandika summary na kurudia rudia ...but niko advance naona mambo mengi nasahau haraka naombeni mbinu zenu
Shule zikisha fungwa Bhana hizi mada ndo zinaibuka.... Any way masomo ya sayans you claim then you understand ....mengine ni kutiana moyo tuu.... Much repeatation la sivyo pcb utaiona ngumu kama n kichwa cha panz....haijawah kumwacha mtu salama
 
Kila mtu na mbinu yake mkuu we jiamini hiyo unayoitumia ni nzuri na mm nilikuwaga naitumia hiyo. Unasoma roughly kwanza then unarudia kwa makini huku ukisamaraizi then unachungulia maswali ukiona huchomoi rudia tena.
 
Tunatofautiana Vichwa/Uwezo..

Tambua wakati ambao kichwa chako kinakua ready kusoma, kuelewa na kupokea vitu vipya, pia tambua wakati kichwa kinahitaji kufanya marudio/revision na tambua muda ambao kichwa kinataka upumzike.

Mimi maisha yangu ya kusoma yalikua magumu kwa sababu ya tabia ya ulevi, Ila nilikua na-time asubuhi sana nikiwa sijaweka pombe kichwani, SAA kumi na moja asubuhi, naamka nakula push ups kadhaa then nabwia maji afu naanza kutia msuli.

Njia nzuri ya kusoma ni kupitia mada husika bila peni wala karatasi. Afu kesho jaribu kuandika ulichokisoma.. Ukiona hukumbuki jua hukuelewa na huna kumbukumbu, rudia tena wakati/Mara hii ukiwa na peni na karatasi ili kuandika point za msingi tu na sio maelezo yote.

Kaza buti janja, utatoboa tu. Kusali muhimu pia.
 
Shule zikisha fungwa Bhana hizi mada ndo zinaibuka.... Any way masomo ya sayans you claim then you understand ....mengine ni kutiana moyo tuu.... Much repeatation la sivyo pcb utaiona ngumu kama n kichwa cha panz....haijawah kumwacha mtu salama


Ha ha ha unajua neno kukariri kwa kingereza huwa ni tatizo kwa wengi
 
Back
Top Bottom