Niaje herufi "T"?

serio

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
7,302
4,680
jamani, kulikoni na hii herufi T? nahisi imerogwa na alie iroga kasha dead,.ebu check;

TANESCO,
TCU,
TFDA,
TRC,
TAKUKURU,
TBC,
na TANZANIA yenyewe.,
na sasa TIGO,.yaniiii, we achatuu,.
 
Ebwana kweli, nahisi na wenye majina hayo pia watakuwa na shida. Badili haraka usiharibikiwe.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom