Niachane vipi na huu mchepuko?

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Sep 26, 2014
2,114
1,485
Habari za muda huu wanachama wenzangu wa JF, matumaini yangu hamjambo na ni wazima wa afya,

Ningependa kusema najuta kutembea na msista flani mwenye mimba na amejifungua mwezi wa 6 kwa oparesheni, binafsi nina mke wangu ambae nae ana ujauzito wangu na anategemea kujifungua mwezi huu wa 7 sio zaidi ya wiki mbili zijazo,kwa kifupi nimeamua kubaki na mke wangu na kumuandalia maisha mema na mazuri mtoto wangu hivyo nafsi yangu inanitaka niachane na huyo mchepuko japo naogopa nikimwambia simtaki anaweza kuchukua hatua hatarishi na kuniweka matatani au hata kuniroga manake nishapewa stori kabila lao ni moto wa kuotea mbali.

Nimejitahidi kutopokea simu zake kwa muda lakini naona mwenzangu hajui kusoma alama za nyakati kwani kila muda ananisumbua na mimi kutoka ndani ya moyo simtaki na sina muda wa kulea mtoto nisiejua kapatikana wapi,nampenda mke wangu na nampenda sana mtoto wangu ajae.

Naombeni ushauri niachane nae vipi huyu single mother?

NATANGULIZA SHUKRANI KWENU WANA JAMIIFORUMS.
 
nampenda sana mke wangu nampenda na mtoto mtarajiwa
we kaka mimi nahisi Mungu akusaidie katika kipindi kigumu!
maana ungekua ynampenda mkeo usingechepuka
baada ya kuona jumba bovu linakuangukia unajifanya humtaki unarudi kwa mkeo kisa hutapata papuchi mwaka mzima na utalea??

ndo faida ya uzinzi kaka / mwanaume wa kweli hakimbii majukumu
alafu huyo khadija mwakani mwezi kama huu ataaanza tena kuruka majoka sijui utamfata tena......?!?!
acha kukimbia kinyago ulichokichonga ..wajibika
 
Hizo sababu ulizotutajia zinazokufanya ushindwe kumwambia ukweli ni justification unatafuta tu. Hivi hivi ulivyotuambia sisi ukimwambia yeye kuna ubaya gani kaka, usijitafutie sababu ili kuendelea nae, kama umeshaamua kuachana na uzinzi ni Jambo Jema usikaribishe kurudi tena nyuma.

Ulisikia case ngapi za watu waliojiua baada ya kuambiwa wanaachwa? Hamna kitu kama hicho, kama hakujiua alipoachwa na huyo jamaa aliyemzalisha tena kwa operesheni ndio atajiua juu yako?

Hebu acha kutafuta sababu za kuendelea kuwa nae, mwite mwambie wazi adhma yako full stop.
 
Habari za muda huu wanachama wenzangu wa JF, matumaini yangu hamjambo na ni wazima wa afya,

Ningependa kusema najuta kutembea na msista flani mwenye mimba na amejifungua mwezi wa 6 kwa oparesheni, binafsi nina mke wangu ambae nae ana ujauzito wangu na anategemea kujifungua mwezi huu wa 7 sio zaidi ya wiki mbili zijazo,kwa kifupi nimeamua kubaki na mke wangu na kumuandalia maisha mema na mazuri mtoto wangu hivyo nafsi yangu inanitaka niachane na huyo mchepuko japo naogopa nikimwambia simtaki anaweza kuchukua hatua hatarishi na kuniweka matatani au hata kuniroga manake nishapewa stori kabila lao ni moto wa kuotea mbali.

Nimejitahidi kutopokea simu zake kwa muda lakini naona mwenzangu hajui kusoma alama za nyakati kwani kila muda ananisumbua na mimi kutoka ndani ya moyo simtaki na sina muda wa kulea mtoto nisiejua kapatikana wapi,nampenda mke wangu na nampenda sana mtoto wangu ajae.

Naombeni ushauri niachane nae vipi huyu single mother?

NATANGULIZA SHUKRANI KWENU WANA JAMIIFORUMS.

Mimba Ni yako? Na Kama si yako, je naye anatambua ni ya Nani? Ukijibu hapa ndo naweza kukushauri....
 
Huyo mchepuko mimba ulimpa weewe???

Unatamani kumuacha alafu unaogopa hatua hatarishi ikiwemo kurogwa???

Kama unaamua kumuacha Basi huna budi kutokuogopa matatizo utakayo yapata au akayosababisha.

Ukilikoroga lazima ulinywe. Mwache, mwambie humtaki maanisha unachosema. Full stop


N.b kama Huyo mtoto ni wako utakuwa umetenda dhambi kubwa kumuacha
 
unaona hafai tena,uko vinzuri,chamsingi mwambie ukweli kama umeoa ,piatubu dhambi hyo kwa kumwambia ukwel mkeo
 
Ww unautan sana et???

Yan unadiriki kutu danganya kuwa nampenda mkewangu na mtoto ajae unaufahamu upendo ww?

Yan dhambi ni mbaya ukishatenda inaleta shida.mkeo ana mimba lkn ukaona ukafanye uasherati wako na mwenyemimba mwingine tena.

Tubu kwa MUNGU kwanza afu mwambie ukweli MUNGU ni mwenye huruma atakusamehe na kukusaidia pia namna ya kumwambia na omba hekima pia.
 
Alipokuwa anakukatia viuno hukugundua kama unampenda mkeo baada ya kumpa mimba ndiyo sasa unataka kumtelekeza huku ukipiga mayowe nampenda mke wangu nampenda mke wangu. Subiri mtoto azaliwe ufanye DNA na kama ni wako umpe matunzo yote anayostahili badala ya kutaka kumkimbia na kumuachia mzigo mkubwa wa malezi.

Habari za muda huu wanachama wenzangu wa JF, matumaini yangu hamjambo na ni wazima wa afya,

Ningependa kusema najuta kutembea na msista flani mwenye mimba na amejifungua mwezi wa 6 kwa oparesheni, binafsi nina mke wangu ambae nae ana ujauzito wangu na anategemea kujifungua mwezi huu wa 7 sio zaidi ya wiki mbili zijazo,kwa kifupi nimeamua kubaki na mke wangu na kumuandalia maisha mema na mazuri mtoto wangu hivyo nafsi yangu inanitaka niachane na huyo mchepuko japo naogopa nikimwambia simtaki anaweza kuchukua hatua hatarishi na kuniweka matatani au hata kuniroga manake nishapewa stori kabila lao ni moto wa kuotea mbali.

Nimejitahidi kutopokea simu zake kwa muda lakini naona mwenzangu hajui kusoma alama za nyakati kwani kila muda ananisumbua na mimi kutoka ndani ya moyo simtaki na sina muda wa kulea mtoto nisiejua kapatikana wapi,nampenda mke wangu na nampenda sana mtoto wangu ajae.

Naombeni ushauri niachane nae vipi huyu single mother?

NATANGULIZA SHUKRANI KWENU WANA JAMIIFORUMS.
 
Alipokuwa anakukatia viuno hukugundua kama unampenda mkeo baada ya kumpa mimba ndiyo sasa unataka kumtelekeza huku ukipiga mayowe nampenda mke wangu nampenda mke wangu. Subiri mtoto azaliwe ufanye DNA na kama ni wako umpe matunzo yote anayostahili badala ya kutaka kumkimbia na kumuachia mzigo mkubwa wa malezi.
Majuto ni mjukuuu
 
Habari za muda huu wanachama wenzangu wa JF, matumaini yangu hamjambo na ni wazima wa afya,

Ningependa kusema najuta kutembea na msista flani mwenye mimba na amejifungua mwezi wa 6 kwa oparesheni, binafsi nina mke wangu ambae nae ana ujauzito wangu na anategemea kujifungua mwezi huu wa 7 sio zaidi ya wiki mbili zijazo,kwa kifupi nimeamua kubaki na mke wangu na kumuandalia maisha mema na mazuri mtoto wangu hivyo nafsi yangu inanitaka niachane na huyo mchepuko japo naogopa nikimwambia simtaki anaweza kuchukua hatua hatarishi na kuniweka matatani au hata kuniroga manake nishapewa stori kabila lao ni moto wa kuotea mbali.

Nimejitahidi kutopokea simu zake kwa muda lakini naona mwenzangu hajui kusoma alama za nyakati kwani kila muda ananisumbua na mimi kutoka ndani ya moyo simtaki na sina muda wa kulea mtoto nisiejua kapatikana wapi,nampenda mke wangu na nampenda sana mtoto wangu ajae.

Naombeni ushauri niachane nae vipi huyu single mother?

NATANGULIZA SHUKRANI KWENU WANA JAMIIFORUMS.
Wanafki wengine bwana.ungempenda mkeo ungeenda kufata K za njee??? Mxiuuuuuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom