Prisoner
Senior Member
- Jan 26, 2010
- 119
- 0
Wakati akiadhimisha miaka 86 ya kuzaliwa wachambuzi wanasema Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ana nia kubaki madarakani mpaka kufa. Source VOA. sasa hii wandugu imekaaje je Tanzania Mh. Rais Jakaya Kikwete akishughulikia Mafisadi tumpe ridhaa mpaka kufa kwake. Maana yeye Mh.Rais Kikwete anaogopa akimaliza muda wake huku amewashughulikia Mafisadi watamfungulia mashtaka.