wapendwa, mimi ni mtanzania ambaye nimeamua sitawaachia wawekezaji wa nje peke yao wafaidike na utajiri wa nchi yangu. ivi karibuni nilipata kuongea na rafiki yangu ambaye ni foreigner na amefika Mtwara, akanisisitizia sana kama nina pesa kidogo nielekee mtwara nianzishe biashara ya malazi yaani B&B. akanihakikishia kuwa watu wengi wanafika mtwara lakini wanakosa sehemu ya kuridhisha ya kulala, na kama wakipata basi bei ni kubwa mno.
sasa basi kwakuwa natambua JF ni kisima cha fikra na watu mbalimbali wenye mitazamo tofauti, naomba kama kuna mtu ana uzoefu na mji huu wa mtwara anisaidie kunipa info ambazo zinaweza nisaidia kwenye nia yangu.
Je ni kweli kuna uhaba wa malazi safi?
vipi upatikanaji wa ardhi? mtwara mjini au hata nje kidogo ya mji sio mbaya
au je, naweza pata nyumba iliyojengwa tayari nikaifanyia matengenezo kukidhi matakwa yangu bei zikoje?
maelezo mengine yeyote yanayoweza saidia yanakaribishwa
THE BIG SHOW najua wewe ni mdau wa mtwara, tafadhali kama una la kuchangia nitashukuru sana.
asanteni
sasa basi kwakuwa natambua JF ni kisima cha fikra na watu mbalimbali wenye mitazamo tofauti, naomba kama kuna mtu ana uzoefu na mji huu wa mtwara anisaidie kunipa info ambazo zinaweza nisaidia kwenye nia yangu.
Je ni kweli kuna uhaba wa malazi safi?
vipi upatikanaji wa ardhi? mtwara mjini au hata nje kidogo ya mji sio mbaya
au je, naweza pata nyumba iliyojengwa tayari nikaifanyia matengenezo kukidhi matakwa yangu bei zikoje?
maelezo mengine yeyote yanayoweza saidia yanakaribishwa
THE BIG SHOW najua wewe ni mdau wa mtwara, tafadhali kama una la kuchangia nitashukuru sana.
asanteni
Last edited by a moderator: