Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Chama makini siku zote huwa kinawajali wananchi waliokipigia kura na kuwaweka madarakani. Hii ni kw a sababu huu ni mkataba kati ya wapiga kura na wale waliochaguliwa.
CCM baada ya kuchaguliwa kwa mara nyingine 2015 ili hakikisha kuwa itafanya juu chini inarekebisha makosa yake na kuhakikisha inatekeleza ahadi zake na ilani yake ya uchaguzi.
Ni kwa muda mfupi tu wa miaka minne CCM awamu hii imefanya makubwa mno.
Imeimarisha sekta ya afya, elimu na miundo mbinu. Na kwa kutekeleza haya wananchi kila kona ya Tanzania wanasema wataichagua Ccm kwa ngazi zote, ubunge, udiwani na urais.
Na katika historia ya Tanzania huiu utakuwa uchaguzi rahisi kwa CCM. Maana wapinzani wote wameshanyoosha mikono juu.
CCM baada ya kuchaguliwa kwa mara nyingine 2015 ili hakikisha kuwa itafanya juu chini inarekebisha makosa yake na kuhakikisha inatekeleza ahadi zake na ilani yake ya uchaguzi.
Ni kwa muda mfupi tu wa miaka minne CCM awamu hii imefanya makubwa mno.
Imeimarisha sekta ya afya, elimu na miundo mbinu. Na kwa kutekeleza haya wananchi kila kona ya Tanzania wanasema wataichagua Ccm kwa ngazi zote, ubunge, udiwani na urais.
Na katika historia ya Tanzania huiu utakuwa uchaguzi rahisi kwa CCM. Maana wapinzani wote wameshanyoosha mikono juu.