SOLOMON TAMIRU
Member
- Jul 25, 2019
- 8
- 6
Habari watanzania, leo nimekuja na hili swali, maana limenichanganya kidogo. Nina mdogo wangu amepata 4.7/5.0 hapo UDBS-UDSM na yeye ndo alikuwa na GPA kubwa kushinda wote hapo cha ajabu hakutangazwa kama BEST STUDENT.
Wadau mliopo kwenye ACADEMIC FIELD naomba mniambie ni vigezo vipi huzingatiwa kumpata BEST STUDENT chuo kikuu,kwa mimi ninavyojua ni GPA iwe kali kushinda wenzako wote.
Ahsanteni
Wadau mliopo kwenye ACADEMIC FIELD naomba mniambie ni vigezo vipi huzingatiwa kumpata BEST STUDENT chuo kikuu,kwa mimi ninavyojua ni GPA iwe kali kushinda wenzako wote.
Ahsanteni