Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,550
Unahitaji Window basi umejam.nina processor 18 zenye GB 800 kila moja ubongo wangu ni core i18, hard disk 100000000 GB, RAM 1000 GB.
Unahitaji Window basi umejam.nina processor 18 zenye GB 800 kila moja ubongo wangu ni core i18, hard disk 100000000 GB, RAM 1000 GB.
Chini ya kapeti nyingine, GPA iwe inapanda au kubaki CONSTANT... mambo ya leo una 4.9 halafu kesho una 4.8, huko ni kushuka hata kama umeshuka kwa juu, bado umeshuka tu..!! na hata kama inayofuata ni 5.0 bado umeyumba.. eidha upige 4.9, then 4.9 then 4.9 AU 4.8, 4.8 na umalizie na 5.0 AU 4.8, 4.9, 4.9, 4.9...je iyo 4.7 ni kwa wastani wa miaka yote mitatu/minne?
habari chini ya kapeti, inabidi iwe above or equal 4.8
Hesabu za wastani ulipata ngapi.Chini ya kapeti nyingine, GPA iwe inapanda au kubaki CONSTANT... mambo ya leo una 4.9 halafu kesho una 4.8, huko ni kushuka hata kama umeshuka kwa juu, bado umeshuka tu..!! na hata kama inayofuata ni 5.0 bado umeyumba.. eidha upige 4.9, then 4.9 then 4.9 AU 4.8, 4.8 na umalizie na 5.0 AU 4.8, 4.9, 4.9, 4.9...
unaumwa ugonjwa wa kukosa ajira.Unahitaji Window basi umejam.
rudi soma tena alichoandika, sio unadandia mwendokasi kwa mbeleHesabu za wastani ulipata ngapi.
GPA ilikuwa inahesabiwa kila moja peke yake... Hizi enzi zenu za semister hizi sijui mnafanyaje...Hesabu za wastani ulipata ngapi.
Mkuu mtu akimaliza Chuo leo na Kuingia Ground huyu amekosa ajira au anatafuta ajira.unaumwa ugonjwa wa kukosa ajira.
hahahahahaaaaaaa, jiajiri achana na ajira kusubiriMkuu mtu akimaliza Chuo leo na Kuingia Ground huyu amekosa ajira au anatafuta ajira.
Umejiajiri.hahahahahaaaaaaa, jiajiri achana na ajira kusubiri
Hata kama kasoma Petroleum anaenda BOT?
yeah mimi nimejiajiriUmejiajiri.
1)Nipe faida tatu unazozipatayeah mimi nimejiajiri
Mkuu mbona mnapotosha? GPA inakuwa calculated based on raw marks, hiyo ndiyo system. Mwenye GPA kubwa maana yake alikuwa na raw marks za juu.Kimsingi kigezo kikuu cha mwanafunzi bora kitaaluma ni GPA.
Endapo kutatokea mfanano wa GPA basi wanaangalia ''raw marks'' ambapo mwenye nyingi ndiye anapewa ushindi.
Kumbuka kwamba A ya 72 na 95 zina uzito sawa kwenye GPA lakini kwenye ''raw marks'' mwenye A ya 95 anahesabika kwamba ni mkali kuliko yule wa 72.
Maswali yangu kwako:
1. Umejuaje kwamba mdogo wako alikua na GPA kubwa kuliko wanafunzi wengine waliohitimu pamoja nae mwaka huu hapo UDBS ?
2. Mwanafunzi bora wa mwaka huu wa duru ya 4 (cluster 4) inayomuisha UDBS, CoHU, CoSS, SoED, IKS, IDS, UDSoL, SJMC aitwaye Kauthar S. Salum (kutoka UDBS) alipata GPA ya ngapi ?
ahsante.
Si kweli mkuu, kasome vizuri tena. GPA inakuwa calculated kwa raw marks.Swali zuri sana wanaweza wote wakawa na GPA moja ya juu sawa let say 4.9 sasa ikifikia hapo GPA zinaweza kuwa sawa lakini bado wakatofautiana kwa jumla ya marks.Nikupe mfano mdogo 80 hadi 100 zote zinaweza kuitwa daraja A lakini huyu aliyepata 81 na aliyepata 95 wote wako daraja moja la A na GPA zikawa sawa lakini marks zitakuwa tofauti
aja ujinga kwani wote walio jiajiri hapo mtaani kwako wana address, wanaweka faida zao hadharani, hata ukichukua gunia la mpunga shambani na kwenda kuliuza hapo pia umejiajiri.1)Nipe faida tatu unazozipata
2)Una Address inayofahamika
3)Gross Worth n Net??
Huna Address wewe ni unaganga njaa Mkuu.aja ujinga kwani wote walio jiajiri hapo mtaani kwako wana address, wanaweka faida zao hadharani, hata ukichukua gunia la mpunga shambani na kwenda kuliuza hapo pia umejiajiri.
Mkuu mbona mnapotosha? GPA inakuwa calculated based on raw marks, hiyo ndiyo system. Mwenye GPA kubwa maana yake alikuwa na raw marks za juu.
Umeingia kwenye Aris za wengine?
We ndo kiazi , kwamba University of Dar es salaam Best Students wote wanapaswa kwenda BOT kila mwaka hata kama katoka kozi ya petroleum au engineering. Soma alichoandika huyo niliyem-quote sio unakurupuka mkuu.
Huna Address wewe ni unaganga njaa Mkuu.