Msaada kwa wenye uelewa wa jambo hili.
Jamaa yangu amepanda gari la Super Feo kutoka Dar kuenda Songea asubuh, kufika Chalinze eneo la mlimani ajari ikatokea kati ya basi na boda.
Wakaja polisi gari ikageuza kurudi kituoni Chalinze ilikuwa ni saa tatu na dakika zake.
Tokea saa tatu mpaka navyoandika thread saa nane bado wapo tu abiria wamekaa hapa kituoni.
Hatupewi ushirikiano na polisi wala wamiliki wa gari.
Wanahitaji msaada mana kama abiria hawana haki.
Bosi wa Super Feo pamoja na polisi wanawanyanyasa abiria.
Tuwasaidie hawa watu bado wapo Chalinze na hawana dalili ya kutoka.
Jamaa yangu amepanda gari la Super Feo kutoka Dar kuenda Songea asubuh, kufika Chalinze eneo la mlimani ajari ikatokea kati ya basi na boda.
Wakaja polisi gari ikageuza kurudi kituoni Chalinze ilikuwa ni saa tatu na dakika zake.
Tokea saa tatu mpaka navyoandika thread saa nane bado wapo tu abiria wamekaa hapa kituoni.
Hatupewi ushirikiano na polisi wala wamiliki wa gari.
Wanahitaji msaada mana kama abiria hawana haki.
Bosi wa Super Feo pamoja na polisi wanawanyanyasa abiria.
Tuwasaidie hawa watu bado wapo Chalinze na hawana dalili ya kutoka.