hebu sema huwa unamfanyia nini? tuone kama upo sawa ..hahhaha msinicheke wadau ndio maana tuko humu kuelimishana...well thanx jmn vingi mmeniambia nafanya kwakweli then mume wangu must b proud 2 have me.:tonguez::teeth:
thanks smile.... lakini hicho kipochi ulimaanisha wallet? wat f km hatumi wallet?
Smile unafikiria haraka sana , Kipochi cha utamu !!!kipochi cha utamu ....
ndo icho tu wanaume wanapenda..
hivo vingine utajisumbua bure...
miss hp heri umepita nimekuona love u
ahahaaa hp nilitaka kusema nimekumiss bwana...sory loveSmile nitake radhi tafadhali, kama ni miss aisee njoo na hicho kipochi manyoya uone, alaaaa %$Sh??'ee*^%333#ii!
toa ***** wako hapa..bikra kitu gani?bikra ndo utu...hata sisimizi wenyewe hawana bikra ..***** tuzawadi pekee mume akuoe una BIKRA!
Smile nitake radhi tafadhali, kama ni miss aisee njoo na hicho kipochi manyoya uone, alaaaa %$Sh??'ee*^%333#ii!
ahahaaa hp nilitaka kusema nimekumiss bwana...sory love
relax bana.... hujambo lakini?Nashukuru kwa uungwana wako wa kufuta kauli, maana nilikuwa nimeshapandisha jazba! loh!
hajira umenena vyema sana, but huwa kuna wakati ambapo mke hulazimika kutoa zawadi in form of material thing just for certain occasion na pia kama kitu cha kukuza penzi.Kubwa ni heshima kwake na ndugu zake,uvumilivu,hekima ya hali ya juu unapotokea mkwaluzano baina yenu,usiwape marafiki nafasi ya kujua kila mnalo panga na kufanya wewe na mumeo au kujua matatizo yenu.Kuwa mbunifu katika swala zima la sita kwa sita,msaidie katika swala zima la uchumi hasa kumshauri katika matumizi yaliyo ya manufaa kwa familia,mwisho umshauri kufanya ibada.Hizo ndo zawadi nzuri kama unataka ndoa idumu sio maua,kadi na boxa na surprise za bethidey,hizo ni minor.Hizo zifanye baada ya hizo za juu.