Habarini wadau, ilikuwa siku ya 07/08/2021 Nyomi kubwa ya watu zaidi ya elfu 15 ilikusanyika chuoni UDOM kufanya usaili wa TRA hatua ya written kwa kada Mbalimbali kuanzia ngazi ya Diploma Hadi Degree.
Lakini baada ya kufanya written siku ya 09/08/21 UTUMISHI wakatoa tangazo la kuahirisha kufanyika kwa awamu ya pili ya usaili wa mahojiano uliotegemewa ungefanyika kuanzia Agost 23-27 kwa sababu ambazo hawakuzitaja hadi leo.
Lakini baada ya kufanya written siku ya 09/08/21 UTUMISHI wakatoa tangazo la kuahirisha kufanyika kwa awamu ya pili ya usaili wa mahojiano uliotegemewa ungefanyika kuanzia Agost 23-27 kwa sababu ambazo hawakuzitaja hadi leo.