Ni zaidi ya mwaka sasa, Mameya wa CHADEMA mna kipi cha kutuonyesha?

Mliingia kwa mbwembwe kwamba Jiji letu sasa liko chini ya Upinzani na mtaleta mabadiliko makubwa, ni yapata mwaka sasa na zaidi, Je kuna kipi cha kutuonyesha?

Kuna badiliko gani jijini kwetu ambalo unaweza kusema limeletwa na uongozi wa chadema/ukawa?

Sio tuanze na ninyi mnaoongoza Taifa , mpaka sasa mmesha Fanya lipi , na Taifa linateketea kwa chuki , visasi na njaa shilingi inadorora siku hadi siku watu hawaoni viwanda mnafoji vyeti tuu nyambafu

Mnapenda kuuza sura kwenye magazeti daily
 
Meya ataleta mabadiliko akiwa na familia yake?Maendeleo ni mfumo ni ujuha kuwa meya peke yake ataleta maendeleo.Mfumo wa utawala uliopo ni wa nguvu ya mtu mmoja mfano wananchi wanachagua madiwani,madiwani wanachagua mameya halafu kuna wateule wa rais kama rc,dc,ras ,das,ded nk ambao ni makada wa chama cha rais.Unategemea nini kwa aina ya siasa zilivyo sasa ktk nchi yetu?Uvyama umekuwa uhasama kuna watu eti wao kwa kuwa ni wanachama wa chama cha mkuu wa nchi wanajiona ni watu wa daraja la kwanza wanajua kila kitu.Nyakati fulani tuwe 'free minded'ili tutor hukumu za haki.
 
Back
Top Bottom