ALEX PETER
Senior Member
- Jan 17, 2012
- 117
- 23
View attachment 55870View attachment 55871
dr slaa akiwa lindi wakati mwenezi wa magamba akiwa songea
Yaani magamba wanakanyaga pesa!! kuonyesha ni jinsi gani walivyo mafisadi.. Ina maana hawajui kwamba nchi hii wapo watu ambao hawana kipande cha nguo cha kujisitiri.? Kufuru nyingine bana! yaani vitenge vinageuzwa carpet!!!
CCM Chama cha MasultaniView attachment 55871
Mkuu unabinua mkia wa bata afu unauliza anaharishia kwa wapi?!
mkuu unabinua mkia wa bata afu unauliza anaharishia kwa wapi?!
View attachment 55870View attachment 55871
dr slaa akiwa lindi wakati mwenezi wa magamba akiwa songea
WOTE WAKO KARIBU, PICHA ZOTE ZINAFANANA tofauti ni mmoja kasimama na mwengine kakaa cchini kwa sababu amechoka kusimama, na ukiangalia vizuri slaa kwekewa kapeti linalofanana na gwanda wakati nape kawekewa kapeti linalofanana na gamba hivyo hakunba tofautiView attachment 55870View attachment 55871
dr slaa akiwa lindi wakati mwenezi wa magamba akiwa songea
CCM Chama cha MasultaniView attachment 55871