Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,909
- 2,477
1) Aliekwenda dukani kuulizia bluetooth.
2) Aliekula hotelini vyombo akaosha.
3) Alienunua chockstick akaitia kwenye mkoba.
4) Aliemuamkia mtu aliyeko kwenye TV.
5) Aliechukua pande la barafu na kuliangalia wapi linavuja.
6) Aliyemuamsha mgonjwa ili ampe dawa ya usingizi.
7) Anayepunguza sauti ya radio ili asome sms.
8) Anayeenda na spana benki ili akafungue account.
2) Aliekula hotelini vyombo akaosha.
3) Alienunua chockstick akaitia kwenye mkoba.
4) Aliemuamkia mtu aliyeko kwenye TV.
5) Aliechukua pande la barafu na kuliangalia wapi linavuja.
6) Aliyemuamsha mgonjwa ili ampe dawa ya usingizi.
7) Anayepunguza sauti ya radio ili asome sms.
8) Anayeenda na spana benki ili akafungue account.