ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Kambweto na babako mbwa wewe
Hii nimesha Kureport mkuu huwezu kuwa JF halafu unatukana, Ngoja Upate Ban kwanza ndio utajua kujenga hoja
Kambweto na babako mbwa wewe
Akili kubwa wewe, ukiachana na utahira wa nje ya uwanja soka la Africa lina kitu gani specialUzoefu wa soka la africa, wakati huohuo kumbe la dunia mnaingia (waafrika),mnaishia kubondwa tu. Ukiachana na ujinga wa nje ya uwanja soka la africa lina kipi cha ziada?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kolo mama yako
Kwa hiyo...Sven kabla ya kuja simba alikuwa kocha wa Taifa Cameroon na zambia
Mkuu umeshaiona CV ya kocha mpya wa Simba au nikutumie PM?Mimi nimeweka makocha wa GETAFE wewe onesha kama amewahi kuwa kocha wa getafe. Sio unarukaruka hapa.
Msamehe sana, uoni kama anazo akili kama za Katimoto!Ulivyo lijinga unaamini kuwa wiki ndio chanzo cha pekee cha uhakika mitandaoni? Hivi hata shule umepita kweli? Hujui kuwa hata wiki ni chanzo dependent?
Lijinga kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waulizee tokaa awe kocha Nabbi kashindaa kombe ganiiiAcha taarabu alafu utueleze, Nabi alifanya nini alipokuwa Merrekh? Na hata hapo Yanga kawapa mafanikio gani mpaka sasa?
NB:Achana na kwingine kote alikopita bila kuchukua kikombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Nabi alikuwa na makombe mangapi wakati mnampa kibarua pale Yanga ?Acha makasiriko wewe KOLO. jibu swali ameshinda makombe Yapi na Yapi. Kocha bora hupimwa kwa mafinikio sio kwa wingi wa vilabu alivyofundisha.
Alikuwa assistant coach sio coach kamiliSven kabla ya kuja simba alikuwa kocha wa Taifa Cameroon na zambia
Kocha wetu alikiwa hana timu tokea 01 Julai 2021. alikuwa nyumbani analea wajukuu tukamuokotaMsamehe sana, uoni kama anazo akili kama za Katimoto!
We kichwa majj ingia kwenye hii link usome kama huwezi kusoma omba usaidiweIngia hata wiki hapo... uliza msimu wa 2014/15, 15/16, 16/17 utaona taarifa kamili.
Watz kwa kudanganyw kijinga bhana.
Unataka ugundue nini?Naomba kujua mafanikio ya kocha mpya wa simba.... Ameshinda mataji GANI na GANI...
Kusema amefundisha sijui Real Madrid hata Cedric Kaze amepiga Barcelona na Bayern Munich kwote amefanya Kazi, achilia Mbali Papaa Mwinyi Zahera aliyefundisha huko France....
Nikiangalia mwaka aliopita Madrid kama assistant Coach, Waliambulia kikombe kimoja tu View attachment 2001243
Kwahiyo anakuja kula x-massHuyu kocha hana uzoefu wa soka la Afrika. Mapema Sana atafukuzwa Mwezi wa 12 tu baada ya mechi mbili tu