Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NinazoNgoni Tribe-Manungayembe
Mike T feat. Ferouz-Mnyalu
Mwenye hizi nyimbo please..
Nimezitafuta sana,naomba uzitupie humu,tufaidike wengi..Ninazo
Mbilia Bel wimbo unaitwa NadinaNaombeni huu wimbo
Moja ya mashairi anasema
Nainda eeeh nainda mama
Rudisha roho namwili mama
Au hata jina la huyu msanii
nicheki mzeeNgoni Tribe-Manungayembe
Mike T feat. Ferouz-Mnyalu
Mwenye hizi nyimbo please..
nicheki mzee nnayo.Kuna wimbo unaimba
Kama kweli wanipendaaa,
Nieleze ukweli mamaaa,
Nisije umbuka,
washkaji wakaja nicheka...
Akucheki ili iweje?nicheki mzee
Rangi ya chungwa😄😄Kuna nyimbo moja hivi ya kitambo sana ina verse inaimbwa
"Chukua chukua yote yako"
Sebene fulani hivi la kwenda, naitafuta hiyo nyimbo inapigwagwa sana Bar
Mkuu uweke humu,ndio sehemu pekee ya kukucheki...ni wengi tu wanazitaka hizi nyimbonicheki mzee
haina nomaMkuu uweke humu,ndio sehemu pekee ya kukucheki...ni wengi tu wanazitaka hizi nyimbo
kua na adabuAkucheki ili iweje?
Kama unazo weka hapa kwenye ili jukwaa
We mji.nga, kama unazo ziweke hapa na sio kuleta blablakua na adabu
huna akili kumbeWe mji.nga, kama unazo ziweke hapa ni sio kuleta blabla
najarib kupakia ila inakataaNgoni Tribe-Manungayembe
Mike T feat. Ferouz-Mnyalu
Mwenye hizi nyimbo please..