Ueleweki!Umechemka siyo huu bana
Pia walikua na kichupa kinaitwa "anachezaje"Dah hao jamaa 'war will' pia walisumbua na ngoma zao kama tunaendana na sifa za marehemu.
Ni natafuta nyimbo zote za jastin kalikawe mwenye nazo anisaidie
Wimbo: Pengokuna wimbo
"kila leo napofikiria, pigo gani litaacha historia, awe kiongozi awe rai, ......."
inaongelea mambo ya viongozi kufa, ya zamani.
Nipeni hii pini
Mjomba inaonekana umejipanga vilivyo... hebu dondosha na ile ya zumbukuku
Naomba nieleweke namna ya kuingia page hiyoJustine Kalikawe
Justin Kalikawe, ni moja ya waasisi wa muziki wa reggae ya Kiswahili. Na moja ya wasanii wa muziki wa Kiswahili waliosumbua sana mwanzoni mwa miaka ya 1990. Justin Kalikawe, alitamba zaidi na nyimbo kama vile 'Roho ya Korosho' 'Ningekuwa na Mabawa' 'Wamachinga' 'Panapofuka Moshi' 'Mv-Bukoba'...www.jamiiforums.com
Nenda page #108 utapata nyimbo zake.
Mkuu kuna la wimbo huo ni VB TitanicMkuu kuna wimbo flani nadhan ni wenge bcbg unaimba "baswahi batakingalaba, baswahili batakingalaba, eliiiiiiiiiii..... . Nipatie tafadhali.