Mkuu Kioo.. Kuna Kikundi kimoja Cha Muziki Kilikuwaga Moro town "PeaPea Entertiment" Walikuwa Na Ngoma Moja Inaitwa Helena Aliimba Jamaa Mmoja Anaitwa Luanda... Naomba Nisaidie Kama Unao na Kama utakuwa Nazo za Hawa Jamaa Pia Zinginezo
 
Natafuta wimbo unaosikika kwenye eneo la kiitikio kama "ewe dada sakina una nini wewe" ni zilipendwa nadhani
 
Mkuu Kioo.. Kuna Kikundi kimoja Cha Muziki Kilikuwaga Moro town "PeaPea Entertiment" Walikuwa Na Ngoma Moja Inaitwa Helena Aliimba Jamaa Mmoja Anaitwa Luanda... Naomba Nisaidie Kama Unao na Kama utakuwa Nazo za Hawa Jamaa Pia Zinginezo
Nyimbo zao sina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom