Asee ubarikiwe sana sanaSijui kama ndio huu!
sema zipi unazihitai tukuwekee
Nyimbo zao sinaMkuu Kioo.. Kuna Kikundi kimoja Cha Muziki Kilikuwaga Moro town "PeaPea Entertiment" Walikuwa Na Ngoma Moja Inaitwa Helena Aliimba Jamaa Mmoja Anaitwa Luanda... Naomba Nisaidie Kama Unao na Kama utakuwa Nazo za Hawa Jamaa Pia Zinginezo
Mambo kwa soksi ...Remmy Ongara
Mwenye nyimbo za picco zooote anisaidie
Ring on it
Bongo.com
Zote za TNG Squad
Sawa Kaka... Kuna jamaa Pia Aliimbaga Mapenzi Na Shule, Alikuwa Anaitwa K Lu kutoka Kingeke Famili... Ulikuwa Unaimbwa "Haya Mapenzi na Shule, Najua Hayaendani, Nataka Kuwa nawe Maishani, Sijui Moyoni Ww Wawaza Nn??Nyimbo zao sina
Nna shida na wimbo wa nash mc baada ya chuo na wimbo wa nikki mbishi alhamdullilah na chill outNi wimbo gani unauhitaji man?
Hizo mbili za mwisho zolishawekwa hapo juu, ukiingia kwenye search utaziona. Ya Nash MC nadhani wadai wataziwekaNna shida na wimbo wa nash mc baada ya chuo na wimbo wa nikki mbishi alhamdullilah na chill out
Mwenye video ya nyimbo hizi mbiloHuu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.