"Kwankaja" dondosha hizi plz kama zitapatikana

1.Zote za unique sisters
2.dudubaya ft stara thomas SIKUTAKA
3.nyama ni nyama kicheche utamaliza bucha sikumbuki ni nani
4.Bwana misosi ft redsun HESHIMA
5.Dk John PANKI STAILI
6.soggy dog USINGIZI
7.soggy dog ANADADO
 
Heshima kwenu wakuu,naomba mwenye huu wimbo “MOJENJE TSABANA” wa Makhirikhiri aupandishe hapa.

Shukrani in advance!
 
ALBUM:FUNGA KAZI
KUNDI:HARD BLASTERS(HBC)
MWAKA:2000
Ilikua na ngoma 11.View attachment 1197548
Ilikua ni Album ya 3 ya HBC ikitanguliwa na BLUST NUFF na MAMBO YA MJINI-(kabla ya NIgga J ambae kwasasa ndo Prof J kujiunga HBC)
Asante sana mkuu... kwa kutukumbushs mbali.. Naomba unidondoshee ngoma ya Maalim Nash Mc - Maisha baada ta chuo..
 

Similar Discussions

76 Reactions
Reply
Back
Top Bottom