1-Easy to the I feat.Suma G-Demu Wako
2-Mchizi Mox-Kinyume Nyume
3-Q-Chief feat.Fanani-Mwana Mnyonge
4-Baba Levo-Mbunge wetu Anatucheka.
5-Ngoni Tribe-Tuserebuke(huu wimbo uliimbwa na wale jamaa walioimba Manungayembe,waliurekodi Bongo Records kwa Majani na upo kwenye album ya wasanii wa label ya Majani pa1 na nyimbo kama Kamua ya GWM)
6-Mitaa ya Home(kuna wasanii wa TMK waliimba huu wimbo; Hapa ndio maskani nyumbani ndipo tunapoishi sisi mitaa ya home.)
 
1-Easy to the I feat.Suma G-Demu Wako
2-Mchizi Mox-Kinyume Nyume
3-Q-Chief feat.Fanani-Mwana Mnyonge
4-Baba Levo-Mbunge wetu Anatucheka.
5-Ngoni Tribe-Tuserebuke(huu wimbo uliimbwa na wale jamaa walioimba Manungayembe,waliurekodi Bongo Records kwa Majani na upo kwenye album ya wasanii wa label ya Majani pa1 na nyimbo kama Kamua ya GWM)
6-Mitaa ya Home(kuna wasanii wa TMK waliimba huu wimbo; Hapa ndio maskani nyumbani ndipo tunapoishi sisi mitaa ya home.)
 

Attachments

  • Mchizi Mox - Kinyumenyume(2).mp3
    3.4 MB · Views: 165
Kuna ngoma ya Stereo jamaa anasema.. ' Wanaopenda lift hawaisimamishi hii defender, km mkwawa naresist no sestrete no surrender..'

Maadui awaponi mbele ya komando kipensi..
Nawaza paka mtoni ubongo wangu hauna fens..
Whats the defferent, kat yawakali n nice..

Naombeni sanaaaa hii ktu
 

Attachments

  • nikki_mbishi_x_stereo_x_one_the_incredible_sisi_over_and_over_mp3_60392.mp3
    3.8 MB · Views: 118
Kuna ngoma ya Stereo jamaa anasema.. ' Wanaopenda lift hawaisimamishi hii defender, km mkwawa naresist no sestrete no surrender..'

Maadui awaponi mbele ya komando kipensi..
Nawaza paka mtoni ubongo wangu hauna fens..
Whats the defferent, kat yawakali n nice..

Naombeni sanaaaa hii ktu
Nashindwa kuupandisha nyimbo zina alama ya kivuli...inaitwa -Listen when I say.
Nyingine inaitwa shaolin ninja ni balaa pia
 
Kunanyimbo ili imbwa na ddc mliman park...unasema "wajifanya wajua jua linakuwakia kwa kuwa unatambua kazi yangu ....tafadhali nimeuchafuta bila mafanikio mkuu
 
Mi nautafuta
1. Hohehahe wameimba Swahili by Nature.
2. Tumbo deni la dunia wameimba Uswahilini Matola.
3. Kitambo kidogo wameimba Big Doggy Pose.
4. Ana ana doo aliimba Soggy Doggy kwa kigugumizi.
5. Usingizi aliimba Soggy Doggy.
6. Mtoto Pili aliimba Dogo Hamidu.
Hizo nimezitafuta bila mafanikio, natanguliza shukrani.
NAZIKUBALI SANA IZO NGOMA ILA MWENYEWE NIMESHAZIOMBA ILA SIKUZIPATA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom