wakuu hii mizigo bado sijaipatamsaada wakuu
1aipam soldier ft gnako v_ vumilia
2: king gk ft Jeff jafary _ shika mic
3: dani msimamo ft mkoloni _ aku
4: paipam soldier _ nipe gwara nipe tano
5: Q chief ft fanani _ mwana mnyonge
da ukiipata hii naomba nishtue albamu ilkua inaitwa KATA KIUJamani mwenye nyimbo za bendi moja ya dance iliimba nyimbo km shangingi ameniacha hoi na mbio za sakafuni huishia ukikongoni.Nakumbuka enzi hizo sisi tulikuwa tunaiita kata kiu ya dance ila sidhani km hilo ndilo jina halisi la bendi hio.
Jamani ni kama maoni tu kuna watu mnaomba nyimbo ambazo zinapatikana kwenye website kibao kabisa mfano kama hizo za akina emnem snoop dog na wengine zipo zimejaa tu sijui ni uvivu Omba wimbo ambao ni adimu kwako kuupata
Wadau kuna nyimbo naitafuta siijui jina
Nimeiskilizisha shazam sijaipata
Hiyo inaitwa protozoa imeimbwa na euglena
Naomba nyimbo ya diamond UKIMWONA
Naomba wimbo wa dudu baya kurusumu ipo eastafricantube.com nimeshindwa kuupaku mwenye nao tafadhali
Naomba wimbo wa wagosi wa kaya Ridandasi..
Naomba wimbo wa O ten
Sifa kumi za dame quality
Wakuu habari,,,,, msaada wa hizi nyimbo:-
1. Another day in paradise by brandy feat rey jay
2.Time after time by Cindy lauper
3.Sometime the snow comes down in dew by Vanessa William
Naombeni nyimba ya isa matona inaitwa Kula muhogo
Ndugu zangu naomba nyimbo ya isa matona inaitwa Kula muhogo na nyimbo yakina Dr mjusi na or kazi ya vichekesho ya magazeti
Linex na Wynem MAUMIVU