Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
Hapana kamanda si wenyewe,ila shukrani kwa kujali.Sjui mnamaanisha huu...! Au sio huo...?
Smart guy
Hapana kamanda si wenyewe,ila shukrani kwa kujali.Sjui mnamaanisha huu...! Au sio huo...?
Mkuu wa Wakuu naomba ngoma Q chief tutaonana wabaya Naomba ngoma Kassim ile Usije Itamapaka leo Naomba Ngoma Fm ile Heshima kwa Mwanamke bila kusahau Ili Game ya Sugu Shukuran sna Mkuu...Sjui mnamaanisha huu...! Au sio huo...?
Mwanangu Nimechelewa Sana Hii Kitu Ila Naomba Nisaidie Ngoma Ya
1: Umeondoka Mama Rmx Ya Afande Sele
2: Nimbo Za K Sal Yule Jamaa Aliyeimba Mkiwa Na Feruz Na Pia
3: Kuna Ngoma Moja Cjui Kaimba Nani, Ila Inaimbwa Hv.. Wanamwita Kaka Poa Huyu Jamaa, Wanamwita Mambo Safi Huyu Jamaa..
InCase Ukiiona Hii Nisaidie
Mkuu naoutafuta wimbo wa Hamadai unaitwa Wangere
Wakuu kuna nyimbo nazitafuta mtandaoni sizipati km kuna mmoja wetu anazo anisaidie,
1; deso - my sweat heart
2: t.o.t band - sweat baby
Wikiendi itakua mzuri nikizipata.
Natafuta nyimbo zote za Black skull
1. Watu balaa
2. Mgambo
3. ....
Pia nyimbo ya darasa ya skati tamaa ya mwanzo kbs
report za mtaani wa fidQ
Mkuu wa Wakuu naomba ngoma Q chief tutaonana wabaya Naomba ngoma Kassim ile Usije Itamapaka leo Naomba Ngoma Fm ile Heshima kwa Mwanamke bila kusahau Ili Game ya Sugu Shukuran sna Mkuu...
Mwenye wimbo wa Makamua uitwao 'Wanatamani' (original version, acha ile remix walifanya 2 in 1 kati ya Wanatamani ya Makamua na Staili Gani ya Moz B) tafadhali nauomba wadau.
Nahitaji ile original ya Makamua mwenyewe.
Huu wimbo vp haupatkaniWrong number by Snoop Lee