KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,154
- 5,680
Nisaidie namna ya kuipata au nai search vp ? Au nipe jina lake
Nisaidie namna ya kuipata au nai search vp ? Au nipe jina lake
Jamani mwenye sebeni Ia werrason lolote lile naomba
Umeona jina la Album bob??
Mkuu kuna ngoma za Nash niliziweka hapa wadau wakaweka hoja za msingi kuwa tuwa-support kwa kununua album za Hip Hop ni kama Elf 7 au haizidi Elf 10 ili wafaidi matunda ya kazi zao kama kweli tunaipenda na kui-feel Hip Hop mkuu.
Unafikiriaje hiyo hoja ya wadau unakubaliana mkuu...? Au...?
Usije mjini!
Kibabu cha maajabu! Na zingine kadhaa za Juma Mpogo!!
Na pia wimbo wa Q-chief mdau kasema unaitwa naanzaje!!
Naomba wimbo Q chief_kinafulani
......................Pia mtu anapata wasaa wa kupata nyimbo nyingine nyingi ambazo alikuwa anazipenda,sidhani kama kuna mtu anaingia hapa kutafuta wimbo mmoja tu au kila mtu anakumbuka na anazo nyimbo zote alizokuwa akizipenda mwanzo.Kuna baadhi ya wenzetu humu wamefanya kazi ngumu na nzuri mno juu ya kudondosha ngoma hapa sasa tusiwe wavivu wa kushindwa kusearch tu maana sasa mtu anaomba wimbo ambao tayari post za nyuma upo. Post ni nyingi sawa lakini ndiyo maana kuna option ya kusearch kwenye post husika. Ahsante
HATAKI by Jose Mtambo mtoto wa Kigambonino
Wakuu naomba nyimbo za chozi la mnyonge na ile kidedea za kina ndanda Kosovo
Nashukuru mkuu?,je unajua nyimbo za q chief za 2003/2004 pegine katika nyimbo hizo mbili naoutafuta mmoja unaweza kuwa ni yeye ameimba maana kuna sauti kama yake pia kama unazijua nyimbo za picco nitajie maana kuna wimbo ambao nautafuta una sauti kama yake.AhsanteKizz Daniel - Yeba (huo wa kwenye. Video)
Jamani ule wimbo wa Simba akifungwa huwa wanaupost sana .....Unaimbwa Congo yetu ...........unaitwaje ule wimbo nautafuta sana
Kuna kazi inaanzaga kwa maneno haya.. ' Simbaa anangurumaaaaa, aaah... Simbaaaa anangurumaaa aaaeeehhh.. ' nadhani ni Achimenengulee Band.. Naitafuta sanaaa aiseee