Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
LE TENANT DU TITRE wa JB Mpiana na Bendi yake nzima Kipenzi changu ya Wenge BCBG ambapo Mghani / Rapa kwa Kiswahili au Atalaku kwa Kilingala au Animateur kwa Kifaransa ninayempenda kuzidi maelezo na niliyechukua jina lake na kulitumia rasmi humu JamiiForums aitwae GENTAMYCINE ( majina yake halisi Pitshou Lisimo ) alifanya Kazi ya ajabu humu huku akisaidiana kwa karibu sana na Baba wa Marapa / Waghani wote Congo DR Tutu Caludgi ( majina yake halisi Yombo Lumbu ) na pembeni yao wakimtambulisha Rapa / Mghani Kijana kabisa ila bahati mbaya sasa hivi ameshatangulia mbele za haki CELLULAIRE Mokili Mobimba ( majina yake halisi Faustine Nzinga Yankobo ) Kwa mpenzi yoyote wa Nyimbo za Kikongo akiusikiliza huu Wimbo hasa sehemu ile ya Sebene lake nina uhakika hata akiwa anambaiolojia Mkewe au anabaiolojiwa na Mumewe ataacha Kwanza ili aserebuke nao kwani ni moja ya Wimbo mtamu na umejaa kila kitu huku Vyombo vyote vikitulia kabisa. Nautafuta sana mwenye nao aniwekee hapa tafadhali na nitamshukuru mno / sana tu.
Kama upo series nicheki PM utume na hela ya bundle..nitakutumia za kutosha
Nimeonja Pendo Lako, Nimejua u Mwemaaa .....
Unamaanisha huyu Mamu distributor au?Kwa Mamu atakua nazo
Wewe Rudi tu hata Leo.Shukrani ndani, mimi naamini nilikosea, inafika wakati natafuta jinsi gani nirudi.
Hapa nimeanza kutafuta nyimbo nilizokuwa nazipenda nikienda kanisani. Then nitaanza upya kwenda.
Wewe Rudi tu hata Leo.
Usiogope
Mimi sio RCNafsi imesharudi, bado mwili.
Jumapili nitaenda kanisani na nikiweza nitaungama next Saturday.
Wewe ni RC?
Abrakadabra ya kofi olomide hamna
Mimi sio RC
Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu yoh1:12a
Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka
Rum10:13
Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu
2tim2:19a
Lakini zikimbie tamaa za ujanani;ukafuate Haki na imani na upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo Safi
2tim2:22
KaribuuShukrani sana, sana.
Dany msimamo _ akuMkuu huo wimbo wa Manzese Crew unamaanisha ni huu...?
Dany msimamo _ aku
Mwanafa ft kwanza unit_haturap
Solo thang ft nguza_tafadhali rmx
Naomba BUSH PARTY wa SOLID GROUND FAMILY
Mkuu KIOO nifanyie zile nyimbo za Eminem kuna baadhi ulishanitumia ukaniambia unazo nyingine nyingi mkuu
Don Clericuzio, post: 31801591, member: 467482 akikutumia kama utakuwa unauhitaji na mm ntakutumia maana nna nyimbo za roman 100+Mkuu Jose, nina uhitaji wa baadhi ya nyimbo.
Tafadhali if you can do the needful.