deivzedward
Member
- Oct 21, 2013
- 19
- 17
Kuna Ngoma ya Nash mc ft chaba _hakuna anaetudai Mwenye nayo tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pamoja sana, humu hakuna kinachokosekana ingawa app inanipa shida sana kwenye ku upload file za audio.mkuu mzigo wenyewe nimeusaka mpaka nimepata
Hapa mkuu uwezo wa library yangu unaishia hapa.kwa UVC nna ngoma zao kadhaa,hazipo kimpangilio wa albummkuu fanya msaada wa
1:shika mic _ king gk ft Jeff jafary
2: haturap fa ft kwanza unit
3: acha kulia mic t
4: jamaa mmoja nimemsahau jina _njoo tutoke
5: dudu baya kaza buti
6: albam ya uvc
Hisia by Lunduno ft suma mnazareti
Una uhakika na hilo jina la huo wimbo?nash kaida ana santuri 4 mpaka sasa na hamna ngoma inayoitwa jina hilo.au labda useme kiitikio kinaimbwaje tujue labda haikujumuishwa katika hizo santuriNaomba wa nash mc unaitwa mpenzi
Aliimba remix ule wimbo unaimbwa hivi "penzi kwako nimelionaaaa,moyoni lanichooma yani kabisa napata homaaaaa" ni wimbo fulani hivi wa kizamani aliurudiaUna uhakika na hilo jina la huo wimbo?nash kaida ana santuri 4 mpaka sasa na hamna ngoma inayoitwa jina hilo.au labda useme kiitikio kinaimbwaje tujue labda haikujumuishwa katika hizo santuri
Kuna Ngoma ya Nash mc ft chaba _hakuna anaetudai Mwenye nayo tafadhali
Anha kumbe ni huo.ndomana nilishangaa hilo jina...Inaitwa HOMA IMENIZIDIAAliimba remix ule wimbo unaimbwa hivi "penzi kwako nimelionaaaa,moyoni lanichooma yani kabisa napata homaaaaa" ni wimbo fulani hivi wa kizamani aliurudia
Asante sana mkuu.Maana niliwahi kuwa nao na uliandikwa mpenzi,shukrani sana boss.Anha kumbe ni huo.ndomana nilishangaa hilo jina...Inaitwa HOMA IMENIZIDIA
AFRICA ya SALIF KEITA.
Naomba original versio na ile aliyoiimba na lady jay dee coke kwenye coke studio