Washkaji kuna wimbo wa professor j siujui jina ila uko hv kuna watoto wanaimba kiitikio
(Baba baba baba nione huruma baba nione huruma baba) naiomba tafadhali”
 
Wakuu naombeni nyimbo zifuatazo,
Kuishi na watu vizuri-Dollo
Mami-Juma Nature
Noma- bboy Stereo
Usiishi kwa leo- one incredible
Tunakupenda-JPOp
Ukimuona-Diamond
Nilie na nani-Afande Sele
Wanatamani-Solo Thang
Hakuna noma -Profesa J
Asante -bob junior
Oyoyo-Jmartins
Good or bad-Jmartins
Rizwan-Izzo B
We Ni wangu-Belle nine
Kilio changu- solo Thang
Kilingen- mwiduka


Ngoja tusubirie wengine waje wamalizie list yako hiyo mkuu.
 

Attachments

  • Prof.Jay ft Inspector & Simple X - Hakuna Noma.mp3
    4.6 MB · Views: 112
  • Belle Nine ( We Ni Wangu ).mp3
    8.7 MB · Views: 92
  • Solo Thang ft Q Chief-kilio changu.mp3
    3.6 MB · Views: 116
Nitashukuru kama utanipatia wimbo wa juma bhalo kama sijakosea.
Sipandi tena mabasi.
Mupendao riba hamwendi peponi.
 
Habar za sasa wakuu.
wakuu naomba ngoma ya huyu rapa anaitwa BLACK MC wa hapa bongo
ngoma yake inaitwa HISIA.

Thanks wakuu.
natanguliza shukran.


Kioo
idimi
gwankaja


pamoja wazeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom