Assa Kamwela
Member
- Aug 18, 2018
- 87
- 25
Ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0717552827 WhatsApp no. Naomba unitumie huo wimbo wa taarabMkaka, nimekuwekea tupo chimbo, hiyo ya Taarab Mambo yapo huku ina 23 MB inagoma ku upload.
Jamani mbona mie wimbo wangu wa shangingi/buzi limewekwa chini hamtaki kuniwekea!!!!
Kioo kuna wimbo wa miaka hiyo unaitwa babaDhao na mamadhao aliyeimba anaitwa mdhee wa kadhi , hebu fanya mambo hapa kama unaoHata ukiongea haina shida kwa sisi wenye vibes za music tutakuwa tumeshajua ni wimbo gani unaouzungumzia mkuu.
Jirekodi japo kidogo kiongozi tuuskie tukusaidie kuupandisha hapa jukwaani mkuu. Thanks.
Wakubwa natafuta wimbo wa Tundaman - Starehe Gharama, kwa yoyote alionao msaada plzz...
Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar ooh zanzibar beautiful island of Africa... ooh zanzibar!!!
Nautafuta sana huu wimbo bila mafanikio naombeni msaada wakuu
Asante sana Mama Debora kwa kunitupia huu wimbo maana nilikuwa nausaka sana bila mafanikio na nisingeweza kuupata bila msaada wako. Ama kweli JF ni kisima cha maarifa! Wimbo wako mpaka sasa hivi nakutafutia. Unaweza kukumbuka uliimbwa na bendi gani au kundi gani la taarabu?we mkaka, huu hapa wimbo wako, babu yangu alikua anaweka anaanza kucheza huku amelewa kimpumu.
namie nitafutie taarab ya buzi limewekwa chini shangingi analichuuna
Alie na wimbo kila munu ave na kwao wa tongolanga anisaidie tafadhali, shukrani.
Feel The Vibes Mamiii. Welcome.
Ubarikiwe sana mkuu
Naomba ngoma ya Caz T mwana wa komba -One more chance,,yupo na demu flan hv,,,dah naihitaj sana hii ngoma
Huu Uzi wa yeelo yelo hakuna mwenye nao jamani...ni old is gold hii ngomaKuna wimbo unaimbwa yeelo yeelo,yeelo wa zamani sana ni katika old is gold kama kuna anaepata aidia akaujua anipe jina la mwanamuziki alieimba