Nyimbo za oliva ngoma please

Sent using Jamii Forums mobile app

Mdada mambo tena, nyimbo za zouk/lingala/roumba kwangu umefika.
Baba Debo leo kaenda night shift, nakesha peke yanguuuu.
Namie nitafutie wimbo wa taarab "buzi limewekwa chini shangingi analichuuuna"
 

Attachments

  • Oliver Ngoma - Alphoncine.MP3
    4.9 MB · Views: 122
  • Oliver Ngoma - Bane.mp3
    5.6 MB · Views: 98
  • Oliver N'goma - Lina.mp3
    3.6 MB · Views: 103
  • Oliver Ngoma - Lusa.mp3
    5 MB · Views: 97
  • oliver ngoma - mellia.mp3
    4 MB · Views: 99
  • Oliver Ngoma - Shery.MP3
    5.2 MB · Views: 105
  • Oliver Ngoma.mp3
    8.1 MB · Views: 87
  • Oliver Ngoma=Bane Ikole.MP3
    5.3 MB · Views: 85
  • Oliver Ngoma=Zouk.mp3
    6 MB · Views: 101
  • oliver ngoma-sandzy.mp3
    3.8 MB · Views: 96
Please nitumie kwa wasap

Sent using Jamii Forums mobile app

we mkaka mambo, mie zangu hazina hayo ma MB sijui 20, enjoy.
karibu home kwangu mbezi goba uoshe macho.
namie nitafutie wimbo wa "buzi limewekwa chini shangingi analichuuna" taarab ya zaman kidogo
 

Attachments

  • Tam tam=Mgumba.mp3
    10.3 MB · Views: 125
  • Double M=Mgumba pt2.mp3
    7.9 MB · Views: 113
Natafuta wimbo wa "Nkurukumbi Nkurukumbi niyo yazaile mainda..."

Uliimbwa na Band moja ya Taarabu/Mipasho ikiwa na makazi yake mjini/jijini Mwanza miaka ya nyuma kidogo...

Kama ulikua bado hujaupata.
namie nitafutie wimbo wa "buzi limewekwa chini shangingi analichuuna" taarab ya zaman kidogo
 

Attachments

  • Taarabu (Wahaya) - Nkhurukhumbi.mp3
    9.8 MB · Views: 89
Wakuu sana natafuta wimbo wa muziki wa dansi ambao melody yake (hasa kwenye chorus) ni kama hivi:

we mkaka, huu hapa wimbo wako, babu yangu alikua anaweka anaanza kucheza huku amelewa kimpumu.
namie nitafutie taarab ya buzi limewekwa chini shangingi analichuuna
 

Attachments

  • Charonyi ni Wasi - Maron Comandos.mp3
    8.3 MB · Views: 81
We mkaka utakua unaongelea moja kati ya hizi. Mie kwaito na flash kwangu ndio umefika
Sikia basi, namie nitafutie taarab inaitwa "Buzi limewekwa chini shangingi analichuuna"
Habar mama debora.
Mama debora naomba hizo kwaito zenye vibe kama lote.
Niwekee Hata folder zima
Yaani Kama zoteee
Ntashkur sana mama debora
Maana ndo ugonjwa wangu huo.


#MamaDebora
 
Zanzibar ooh zanzibar beautiful island of Africa... ooh zanzibar!!!

Nautafuta sana huu wimbo bila mafanikio naombeni msaada wakuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom