Wakuu msaada wa huu wimbo

Baadhi ya mistari yake

Uchungu wa mapenzi unauma sana usiambiwe uchungu wa mapenzi unauma sana usiambiwe mpenzi wangu nishike mkono usiniachie ukiniacha nitaenda wapi mimi

Kiitikio

Helo napiga simu pokea baby am sorry

Wakuu kama kuna mtu anao naomba auweke hapa natanguliza shukrani zangu
 
Kuna wimbo aliimba Godfrey Gregory (GG) unaitwa "Mke ni ndugu au rafiki"... nauomba...

Huyu ndiye aliyeimba vibao kama "Penzi la kweli" na "Hellow"
 
"Unaonekana Unaye" ya Mez B naiomba wakuu...

Pia Neema ya Makamua ft Dully & Mr Blue
 
Hiyo ngoma inaitwa Pokea Simu yake Ruta Bushoke.....hope Kioo atakuwa nayo pia!
Wakuu msaada wa huu wimbo

Baadhi ya mistari yake

Uchungu wa mapenzi unauma sana usiambiwe uchungu wa mapenzi unauma sana usiambiwe mpenzi wangu nishike mkono usiniachie ukiniacha nitaenda wapi mimi

Kiitikio

Helo napiga simu pokea baby am sorry

Wakuu kama kuna mtu anao naomba auweke hapa natanguliza shukrani zangu
 
Mkuu KIOO naomba nisaidie ngoma Ray c upo wapi na Baby girl mad ice yamenikuta GWM na nyimbo fulani hivi ya wana manzese kiitikio chake kila mtu na starehe yke anae tumia ujuzi wake na hayo ndio mapenzi yke... muhimu sna kaka plz
 
Mkuu KIOO naomba nisaidie ngoma Ray c upo wapi na Baby girl mad ice yamenikuta GWM na nyimbo fulani hivi ya wana manzese kiitikio chake kila mtu na starehe yke anae tumia ujuzi wake na hayo ndio mapenzi yke... muhimu sna kaka plz
 

Attachments

  • Ray_C_Uko_Wapi.mp3
    5.4 MB · Views: 140
  • Mad_Ice_Baby_Girl.mp3
    4.8 MB · Views: 151
  • Waswahili_Kila_Mtu_Na_Starehe_Yake.mp3
    4.5 MB · Views: 165
Wakuu msaada wa huu wimbo

Baadhi ya mistari yake

Uchungu wa mapenzi unauma sana usiambiwe uchungu wa mapenzi unauma sana usiambiwe mpenzi wangu nishike mkono usiniachie ukiniacha nitaenda wapi mimi

Kiitikio

Helo napiga simu pokea baby am sorry

Wakuu kama kuna mtu anao naomba auweke hapa natanguliza shukrani zangu
Mkuu KIOO naomba unisaidie huu wimbo kama unao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom