jay-mc
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 241
- 139
Nashukuru sana gwankaja na kioo kwa ushirikiano mkubwa ulio uonyesha Mungu awabariki sana ila pia naomba kma mna wimbo wa viraka f.t q jay unaitwa niambie ukweli kama sijakosea na wimbo wa steve rnb unaitwa msamaa una maadhi ya rege nadhan ndio wimbo wake wa kwanza kuutoa baada ya kushirikishwa na mr blue kwenye tabasamu pia wimbo wa hk f.t Ester wasira unaitwa umerudia tena Na wimbo wa mshakaji mmoja wa kanda ya ziwa anaitwa mariki F. T bayo wimbo unaitwa my fellow una hadhi ya rege tone.natanguliza shukrani