Taja nyimbo mkuu...Albert mangweha album ya A.K.A MIMI
Taja nyimbo mkuu...
gheto langu, sikiliza, weekend, dakika moja, mademu zangu , Bado nimo au Zawadi??
Hardcore Unit(Watengwa) - Tabia Mbaya
Joh Makin - Dakika 90
Joh Makin - Muda
Rado Hukumu Ndotoni
Rado - Hukumu ndotoni
Watengwa (Hardcore unit) - Tabia mbaya
Joh Makini - Muda & Dakika 90
Bado nimo na kimafia
Nimeukumbuka aisee,2002/2003 hii kipindi hiko ukiwa na elf5 ukila kwa anasa sana huimalizi,yaani bado shilling ilikuwa na nguvu.
Daaa, hapo kwenye historia ya kweli- Dully Sykes nakumbuka niko kidato cha pili miaka ya 2000 mwanzoni, barikiwa sana mkuuNarusha za ziada
Mkuu bado naamini Hashim ni overrated and coward MC aliyekimbia baada ya kusoma alama za nyakati huku wenzake wakiendelea kutafuta ukombozi Wa hiphop na Muziki kwa ujumla. Hashim halingani na D rob wala zavala Wa KU. Kwa nini ananyanyuliwa kiasi hiki? Alifanya nini? Mbona Hata Nash MC anaandika na kuflow zaidi yake? Hapa nachoona jamaa anapepelewa na uzamani tu ila kwa shughuli jamaa Hata robo hamfikii fid q.Nitafurahi kama wadau wengine wakiendelea kushusha tracks za Hashim hapa.
Farida-Pesa
Nyimbo za sister P naomba maana google hawana
Mkuu naomba nisaidie kutuma kwa whatsapp old skul zote hizo plz kaka +27784696692Nyingine hizi
Fresh sana kwa kunipa hzi free stylz na tracks za Hawa legendsNitafurahi kama wadau wengine wakiendelea kushusha tracks za Hashim hapa.
Utatisha sana mkuu maana ukifanya hivyo utatusaidia kutushawishi na sisi wengine ambao hatujawahi kusikia kazi nyingi za huyu jamaaKama unaamini Hashim alisikika kwenye Tunasonga tu nakusikitikia sana mkuu kwa kukosa ladha na mashairi konki ya huyu mwana Hip Hop OG ambaye Mimi binafsi sijaona wakumfananisha nae hapa TZ mpaka sasa.
Nikipata muda ntaandaa collection ya tracks zake niweke hapa kwa ajili ya wadau wengine waweze pata kusikia alichofanya jamaa kabla yakuachana na muziki ingawa Nyimbo nyingi za huyu mtu anatumia lugha za mtaani (matusi) moja ya sababu kubwa inayopigwa redioni ni Tunasonga tu.