moja mbili tatu nateleza kama chatu akili zangu fyatu kama soli ya kiatu kiatu si kiatu kinauzwa mia tatu... nne tano sita uwanja wa sukita saba nane tisa mzungu anatisha
Heshima kubwa kwako mkuu! Naomba unisaidie kupata nyimbo zilizomo kwenye albamu ya ELIMU MITAANI ya D knob! Hasa ule "bado nipo"!
Wakuu mwenye nyimbo ya Nash mc mitihani naomba anisaidie ahsante
Heshima kubwa kwako mkuu! Naomba unisaidie kupata nyimbo zilizomo kwenye albamu ya ELIMU MITAANI ya D knob! Hasa ule "bado nipo"!
Kama bado haujaupata naomba namba yako ya simuNauhitaji sana wa K basil, baadhi ya mistari yake ni
Siku moja ndotoni nikaotaa
Kwa mbali nikasikia unaniita
Ukajitokeza kwa pozi lenye utataa
Ndani ya khanga laini yenye kutepetaaa....
Nitashukuru sana wandugu
Shukuran sna Ndugu lete ngoma kitambo zaidi kaka2BDP
Nilishaupata ndugu, asante.Kama bado haujaupata naomba namba yako ya simu
Dah,huo #4 nilikuwa napenda chorus yake;
hata sikujua kaimba nani!
Mwenye nao autupie hapa kibabe!