mkuu huyo kwenye picha ndo ww?Huu ni Uzi Maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
View attachment 628965
Unaitwa NamuimbiaPasha
JE KIONGOZI, NAWEZA PATA WIMBO FLANI UNAOSEMA,,, PARAPANDA IKILIA ULIMWENGU UTAMWONAAA MWANA KONDOO AKISHUKA NA UTUKUFUU, AKIBAGUA KONDOO NA MBUZI. Uliimbwa na Dada MKENYA anaitwa Esta. Ila sio yule Esta waome. Pia asante, mkuuu unatusaidia sana. Mungu akubariki sana, maana tunapata vitu adimu.
Mkuu hapo kwenye mazoea yananikondesha kula tano nnao huo wimbo naupenda sana!nautafuta wimbo unaitwa 'fanta' - papii kocha
'msela' - mawingu band
'mazoea Yananikondesha' - mzinga group