kama mnavyojua wanan jf tarehe 20.9.2012 mahakama ya rufaa itahamua rufaaa ya kamanda lema,itaamiliwa na majaji watatu,naomba makamanda wa arusha mkipata muda tujumuike kwa wingi kumpa sapoti kamanda.
Kwa sababu hii lazima ashinde kesi ili apunguziwe kasi ya kuvua magambaNikusahihishe, si wiki ya kucheka au kulia ni wiki ya" KUCHEKA AU KUENDELEA KUCHEKA"
Maana ashinde kesi au asishinde tayari cdm imempa jukumu la kufanya kuzunguka nchi nzima kujenga chama,kazi ambayo ni mwiba kwa magamba.
Inaamuliwa au ndio inaanza kupitiwa/kusikilizwa appeal ?
Mahakama ni mali ya CCM hamna muujiza kwenye hii kitu ya Lema
Inaanza kusikilizwa. Mr Rocky njoo utupe mwanga zaidi mkuu.