MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Kiwango cha pesa kilichowekwa na chuo kikuu cha dar es salaam kwa ajili ya kukodi majoho kwa ajili ya mahafali ambacho ni zaidi ya 45000; kimeonekana kuwa tatizo miongoni mwa wahitimu wengi. mpaka sasa ni zaidi ya rafiki zangu kumi wamesema watashindwa kulipa pesa hiyo kwani ni nyingi mno na wengi ni masikini na mpaka sasa hawajapata kazi.
hivyo utofauti upo kati ya maskini na matajiri udsm
hivyo utofauti upo kati ya maskini na matajiri udsm