kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Zipo wizara mbalimbali za serikali, kila wizara ina Waziri lakini kiutendaji na kwa kuzingatia mawaziri wengi siyo wataalam Bali Ni wanasiasa, je ni Waziri gani unadhani uwezo wa watu anaowaongoza ni mkubwa kuliko wa kwake na hivyo ameshindwa kutoa huduma iliyokusudiwa na badala yake anakesha BARABARAni na kwenye media kutafuta Kiki?
Waziri utakayemtaja awe ni yule ambaye hata Leo akiondoka KM na wakuu wa idara wanaweza kutekeleza majukumu na wizara ikaenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri utakayemtaja awe ni yule ambaye hata Leo akiondoka KM na wakuu wa idara wanaweza kutekeleza majukumu na wizara ikaenda
Sent using Jamii Forums mobile app