Endeleeni kujidanganya nyie machawa wa gaidiMbowe Ni VIP, sio kapuku Kama wewe
Unafikiri kibongobongo mahabusu anaweza kupewa uhuru wa kuongea na simu tena na mtu aliyekuwa nje ya nchi?Mfungwa ni Sabaya, Mbowe ni mahabusu….. nahisi nawe umechanganya kama sio kuchanganyikiwa.
Lemaa naye, hivi hata kama ni kweli ndivyo ethics zilivyo hivyo? Confidentiality maana yake ni nini? Je bedroom matters nazo anasema hivi hivi? Bora Mwijaaku kuliko huyu jamaa.
Hebu pelekeni huko umbea wenuHope mko poa wakuu, hii habari sio maneno yangu, ni siri iliyotobolewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema.
Lema amesema kuna waziri ndani ya serikali ya SSH, alienda gerezani kumtembelea Mbowe, waziri huyo alifanya kikao na Mbowe gerezani, na alimshawishi vitu vifuatavyo.
Mama hana shida na Mbowe, na yuko tayari kumrudishia vitu vyake vyote alivyonyanganywa kama Billicanas, pesa zake alizonyanganywa na mali zote.
Lema ameongeza kuwa SSH, hataki stress so Mbowe aachane kabisa na wabunge wa Covid-19, hasiwaongelee kabisa.
Mwisho achane kabisa na katiba mpya, yaani hasilizungumzie ilo la Katiba Mpya, na mbeleni wangeweza kukaa mezani na kutengeneza katiba ya kufanya kazi kwa pamoja (hapa walitaka wa negotiate Power).
Lema ameongeza kuwa Mbowe alimpigia simu akiwa na hasira sana, na alikataa mapendekezo yote yaliyoletwa na huyo waziri, alimjibu waziri huyo kuwa yuko tayari kufia magereza lakini hawezi negotiate masuala ya haki.
Nimeshtuka sana kusikia maneno ya Lema, yaani sisi tunaumia na Mbowe kuwa gerezani, lakini Mbowe hata haogopi kitu, na ni wazi serikali wanachanganyikiwa huyu mtu huu msimamo mkali anautoa wapi.
Finally ni waziri gani huyo aliyeenda kumrubuni Mbowe anegotiate na watawala.
Source: Godbless Lema jana