Kuna tetesi pia kuwa Lowassa ni Rais wa Tanzania 2050. Great Thinker unaamani katika tetesi.Kuna tetesi kuwa Mbowe ni mtoto wa kuzaa wa Nyerere na alizaliwa wakati Mwalimu akiwa katika shughuli zake za kisiasa huko Machame,wilayani Hai.Hivyo Mbowe kwa Vincent ni Bro.Ukibisha tazama Sura ya Madaraka,Magige,Makongoro na Mbowe "like father like sons".