KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
Hii ni wazi tunavutiwa na chadema, wajua chadema kaleta changamoto ya ukweli katika kutetea wananchi pia kuisimamia serikali, ivyo wananchi wengi wamekuwa wakivutiwa kuangalia sessions za bunge hasa kusikia watetezi wao (chadema) wakiongea, huku tukifurahi jinsi wabunge wa ccm wenye uelewa mdogo wanavyojigonga na kukomaa mishipa ya shingo kuitetea serikali tunayoifahamu kwa matendo maovu na ya kifisadi. Natumai mmemuona ngeleja alivyopwaya