Ni wazi kwamba CCM imekosa attention kabisa, kampeni za chaguzi za CHADEMA zimefifisha kabisa taarifa zao

othuman dan fodio

JF-Expert Member
Jan 2, 2018
6,847
11,029
Ni wazi kwambq CCM imekosa attention kabisa, kampeni za chaguzi za CHADEMA zimefifisha kabisa taarifa za kinachoendeleq huko Dodoma, watu kila leo wapo bize kutaka kujua chadema kuna nini kimeongelewa nn hii imepelekea watu wasiupe umuhimu ule upande wa pili.

Sasa kesho wanachi wapo dimbani ni nani atapoteza muda wake kuangalia makamu m/kiti anavyosimikwa bila kupigiwa kura aache kuangalia kandanda safi.

Kimsingi kule kumebuma hakuna jipya kazi yao wangeweza kuifanya hata wakiwa majumbani kwao kwa kupigiana simu na kutumiana sms na kumpitisha huyo makamo.

Niwape pole kwa mdororo huo na aibu wamayopitia
 
Ni wazi kwambq CCM imekosa attention kabisa, kampeni za chaguzi za CHADEMA zimefifisha kabisa taarifa za kinachoendeleq huko Dodoma, watu kila leo wapo bize kutaka kujua chadema kuna nini kimeongelewa nn hii imepelekea watu wasiupe umuhimu ule upande wa pili.

Sasa kesho wanachi wapo dimbani ni nani atapoteza muda wake kuangalia makamu m/kiti anavyosimikwa bila kupigiwa kura aache kuangalia kandanda safi.

Kimsingi kule kumebuma hakuna jipya kazi yao wangeweza kuifanya hata wakiwa majumbani kwao kwa kupigiana simu na kutumiana sms na kumpitisha huyo makamo.

Niwape pole kwa mdororo huo na aibu wamayopitia
Wamebeba na wasanii uchwala lakini wapi
 
Hali ikienda hivi hadi uchaguzi mkuu kampeni zao zitapoa sana pamoja na kujaza wasanii. Waombe mbowe ashinde, hata kama mbowe atashinda kampeni za mwaka huu zitapoa sana mpaka kupiga kura wananchi hawatakuwa na hamasa ya kupiga kura. Zoezi la kupiga kura litaathirika pakubwa kwa idadi ya wapiga kura kuwa wachache kulinganisha na chaguzi tatu zilizopita. Hawa kina lissu wana mvuto kuvutia wapiga kura wengi kutokana na harakati zao kwenye siasa
 
Back
Top Bottom