Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,354
- 17,902
Mwezi Februari mwaka 2018 Hakimu Michael Mteite wa Mbeya alimukumu Mbunge Joseph Mbilinyi (CHADEMA) miezi 5 jela kwa kosa la kumkashifu Rais wa Tanzania.
Hukumu hiyo ilitenguliwa mnamo April 2018 na JAJI UTAMWA wa Mahakama Kuu Kanda ya Mneya baada ya Sugu kuwasikisha ombi la rufaa.
Mnamo Machi 2020 Hakimu Thomas Simba wa Mahakama ya Kisutu aliwahukumu kifungo cha miezi 5 au faini ya Tsh 350 Milion Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake kwa makosa ya kufanya maandamano haramu yaliyopelekea kifo cha Akwilina Akwelin aliyekuwa mwanafunzi wa NIT.
Leo 25/ 06/ 21, JAJI wa Mahakama Kuu Irvin Mheta ametengua maamuzi ya Hakimu Simba na kuamuru washitakiwa warudishiwe kiasi hicho cha fedha.
Ni wazi hizo kesi huenda zilikuwa na shinikizo la kisiasa kutoka kwa Mwendazake au Mahakimu walifanya maamuzi hayo kumfurahisha Mwendazake ili awape promotion ya UJAJI.
Nini itakuwa hatima ya Mteite na Simba kwenye maisha yao uraiani baada ya kustaafu?
Hukumu hiyo ilitenguliwa mnamo April 2018 na JAJI UTAMWA wa Mahakama Kuu Kanda ya Mneya baada ya Sugu kuwasikisha ombi la rufaa.
Mnamo Machi 2020 Hakimu Thomas Simba wa Mahakama ya Kisutu aliwahukumu kifungo cha miezi 5 au faini ya Tsh 350 Milion Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake kwa makosa ya kufanya maandamano haramu yaliyopelekea kifo cha Akwilina Akwelin aliyekuwa mwanafunzi wa NIT.
Leo 25/ 06/ 21, JAJI wa Mahakama Kuu Irvin Mheta ametengua maamuzi ya Hakimu Simba na kuamuru washitakiwa warudishiwe kiasi hicho cha fedha.
Ni wazi hizo kesi huenda zilikuwa na shinikizo la kisiasa kutoka kwa Mwendazake au Mahakimu walifanya maamuzi hayo kumfurahisha Mwendazake ili awape promotion ya UJAJI.
Nini itakuwa hatima ya Mteite na Simba kwenye maisha yao uraiani baada ya kustaafu?