nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,771
- 5,315
Mkuu usiogope hii regime haina muda mrefu ita-collapse!Kiburi cha madaraka kipo juu sasa.imefikia baadhi ya halmashauri ili kupata hata ajira ya muda wanaangaliwa wenye kadi za ccm kama huna imekula kwako