Amrish Puri
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 274
- 379
joh makini huwa sielewi baadhi ya nyimbo zake kama waya,nusu nusu ana unga unga maneno ila beat zinambeba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana hit song iitwayo USITOE PASINyimbo yake Wimbo wake
Sijasikia wimbo wake ila nimesikia maneno yake ya kijinga ya kujidai na kujikweza kisha kujilinganisha na harmonize.
Wewe umeusikia wimbo wake?
Na ndio inafanywa apendwe na watu wengine sasajoh makini huwa sielewi baadhi ya nyimbo zake kama waya,nusu nusu ana unga unga maneno ila beat zinambeba
Utanikuta mdauKaripoti sentro
Darasa,nuru elly,chege,Habarini Wadau,
Ni ukweli ulio wazi kuwa wapo wanaoitwa wanamuziki hapa bongo ila hawana sifa hizo, kifupi wanalazimisha sana uanamuziki
Kiukweli zaidi kama wangekuwepo nchi zinazojua kuchuja karama au vipaji vya watu kama USA basi wasingekuwepo kabisa kwenye orodha ya wanamuziki hasa waimbaji.
Mimi nitawataja wachache wafuatayo, ambao huwa hawaimbi ila wanaongea tu, na kama wakiimba basi ujue wameshirikishwa au wamebebwa.
Hao ni:-
1) Tunda man
2) Ney wa Mitego
3) Peter Msechu
Ongezea wengine.
Hio na2Habarini Wadau,
Ni ukweli ulio wazi kuwa wapo wanaoitwa wanamuziki hapa bongo ila hawana sifa hizo, kifupi wanalazimisha sana uanamuziki
Kiukweli zaidi kama wangekuwepo nchi zinazojua kuchuja karama au vipaji vya watu kama USA basi wasingekuwepo kabisa kwenye orodha ya wanamuziki hasa waimbaji.
Mimi nitawataja wachache wafuatayo, ambao huwa hawaimbi ila wanaongea tu, na kama wakiimba basi ujue wameshirikishwa au wamebebwa.
Hao ni:-
1) Tunda man
2) Ney wa Mitego
3) Peter Msechu
Ongezea wengine.
Adam mchovuNdo nan huyoo
Huyo anaimbaga bange tuAdam mchovu
Mkuu u can't be serious mkuu darasa???!!!Darasa,nuru elly,chege,
Young killer mtoe humo mkuu dogo anachana sanaJoh makini
Young killer
Nay wa mitego
Hemed phd
Wewe ni ndindindi nini?Ali Kiba, Lady JayDee, Afande Sele na Harmorapa
Juma Nature naye ni unga unga? Au umezaliwa jana?wanamziki bongo ni Fid Q,Prof J,ben paul,diamond,maunda zorro ,Ditto,na Joe makini na marehemu Ngwea
walio baki ni unga unga
Huyo ile mikao yake za uchi uchi na skendo ndio zinampa umaarufu ila utungaji wa nyimbo ni zero
Huyo ile mikao yake za uchi uchi na skendo ndio zinampa umaarufu ila utungaji wa nyimbo ni zero
lady jay dee!!!!! aiseee[/QUOTE
umeandika kinyume mwendo saa