CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Leadership Vacuum shall prevail...
Hilo nililobold hapo juu ndio root problem ya hapa tulipofika kama nchi. Huo mfumuko wa bei, ufisadi uliokithiri, fractured state, ukosefu wa maadili, mabomu (mbagala, gongolamboto na mengine yajayo), zero za kumwaga form iv, rushwa iliyokithiri maeneo yote, mgao wa umeme, n.k n.k ni dalili (symptoms) tu la tatizo tulilonalo la kiuongozi Tanzania.
Na katika hili simlaumu jk hata kidogo kwani huo ndio uwezo wake, ninawalaumu watanzania kwani kumlaumu jk ni sawa na kuilaumu canter ya 3.5 tons iliyoshindwa kutembea hata kama ina rangi nzuri vipi (urais sio sura) baada ya kubebeshwa container la 40 tons. Wa kulaumiwa hapa ni yule aliyeload 40 tons kwenye canter ya 3.5 tons, hili linaapply hapa kwetu pia, watanzania ndio wa kulaumiwa na si mwingine.
JK is not presidential material, Pinda is village head material (not even Distric Commissioner), Sophia Simba is taarabu material, need I say more?
No Sir!
JK is not presidential material, Pinda is village head material (not even Distric Commissioner), Sophia Simba is taarabu material, need I say more?
-----and SLAA is PRIEST material!---------
Kama PRIEST anamcha Mungu basi anatufaa sana,maana JK anaamini Freemansonary works,hana hofu ya Mungu...........anabaki kuamini Majini na mashetwan!Evidence kuanguka anguka hovyo!
Hilo nililobold hapo juu ndio root problem ya hapa tulipofika kama nchi. Huo mfumuko wa bei, ufisadi uliokithiri, fractured state, ukosefu wa maadili, mabomu (mbagala, gongolamboto na mengine yajayo), zero za kumwaga form iv, rushwa iliyokithiri maeneo yote, mgao wa umeme, n.k n.k ni dalili (symptoms) tu la tatizo tulilonalo la kiuongozi Tanzania.
Na katika hili simlaumu jk hata kidogo kwani huo ndio uwezo wake, ninawalaumu watanzania kwani kumlaumu jk ni sawa na kuilaumu canter ya 3.5 tons iliyoshindwa kutembea hata kama ina rangi nzuri vipi (urais sio sura) baada ya kubebeshwa container la 40 tons. Wa kulaumiwa hapa ni yule aliyeload 40 tons kwenye canter ya 3.5 tons, hili linaapply hapa kwetu pia, watanzania ndio wa kulaumiwa na si mwingine.
Nakubaliana na wewe kweli JK mweupe kama ni washauri au mawaziri ndio wanaomuangusha nani aliowateua?Ma kitu kingine ningelipenda kuongezea kwa mtu anapokua mweupe hata azungukwe na wataalam au wasaidizi wazuri kiasi gani haisaidii kitu.Ni sawa na gari kuliwekee matairi mapya ukitegemea liongeze kasi wakati tatizo ni Tatizo la Rais wetu haelewi hata nini kinachoendele katika nchi anayoitawala.Ushauri wa wasaidizi wake hawezi kuuelewa na kupambanua nini cha kufanya,matokeo yake ili wasimuudhi wanamdanganya kwa maneno matamu na kumsifia.Kwa kifupi hajui nini kinaendelea.MUNGU IBARIKI TANZANIANdugu zangu,
Nimeamua nianzishe thread kuonyesha jinsi ninavyokereheka ninaposikia kauli fulani fulani wakati watu wanapojadili uwezo wa kikwete. Utasikia watu wanasema ''tatizo la rais wetu ni wasaidizi wake. Hao ndiyo wanaomwangusha''. Hii kauli jamani inanitia kichefuchefu sana. Hivi kama tatizo ni wasaidizi wake anashindwaje kuchukua hatua stahili??? Mimi naona kikwete mwenyewe nae ni kilaza tu asiyeweza kutambua hata wanaomsaidia na wasiomsaidia. Lazima tuwe wakweli jamani tusifichefiche, kikwete ni mweupe tena sana ndiyo maana nchi inakwenda hovyo hovyo!!
Ndugu zangu,
Nimeamua nianzishe thread kuonyesha jinsi ninavyokereheka ninaposikia kauli fulani fulani wakati watu wanapojadili uwezo wa kikwete. Utasikia watu wanasema ''tatizo la rais wetu ni wasaidizi wake. Hao ndiyo wanaomwangusha''. Hii kauli jamani inanitia kichefuchefu sana. Hivi kama tatizo ni wasaidizi wake anashindwaje kuchukua hatua stahili??? Mimi naona kikwete mwenyewe nae ni kilaza tu asiyeweza kutambua hata wanaomsaidia na wasiomsaidia. Lazima tuwe wakweli jamani tusifichefiche, kikwete ni mweupe tena sana ndiyo maana nchi inakwenda hovyo hovyo!!